Mfumo

Kanzi data Mfumo wa kuhifadhi taarifa

Kanzi Data ya Dayosisi

Taarifa kwa maendeleo endelevu

Karibu kwenye mfumo wa ukusanyaji na utunzaji wa taarifa mbalimbali za dayosisi. Mfumo huu unaunganisha kumbukumbu zote za dayosisi katika sehemu moja, kuhakikisha upatikanaji rahisi na usahihi wa taarifa . Mfumo huu unauwezo wa  kutoa huduma mbalimbali  zinazopatikana kwenye ofisi za dayosisi kwa njia ya kieletroniki,  ikiwemo kufanya yafuatayo

Kufanya Usajili

Mfumo huu unawezesha usajiri wa  Mitaa, makasisi, wafanyakazi, waumini,  idara, pamoja na rasilimali za dayosisi  ili kuwezesha mawasiliano, usimamizi na  mgawanyo wa rasilimali kwa ufanisi ili kuongeza ushiriki na matumizi bora ya rasilimali za dayosisi. 

Kutunza kumbukumbu

uhifadhi kumbukumbu za kina na zilizopangwa vizuri za Mitaa, makasisi, wafanyakazi, waumini,  idara mbalimbali pamoja na rasilimali za dayosisi ili kuwezesha mawasiliano na usimamizi usio na vikwazo, ili kuhakikisha ufuatiliaji kamili na upatikanaji rahisi wa taarifa.

Kutengeneza ripoti

Mfumo huu unatengeneza ripoti zenye taarifa muhimu za rasilimali watu, fedha, na mali,  zinazowasaidia viongozi wa dayosisi kufuatilia utendaji na kupanga rasilimali kwa ufanisi ili kusaidia maamuzi sahihi na kuimarisha uwazi katika dayosisi nzima.

Sensa ya Dayosisi

Fahamu taarifa chache kuhusu dayosisi yetu kwa kupitia namba

Mapadre
Wainjilist & walimu wa dini
Walimu wa Shule ya jumapili
Waumini
+
Achidikonari
Mitaa
Vigango
Jumuia
+

Fomu za Usajili

Huduma Kiganjani mwako

Chagua fomu husika  hapo chini ili uweze kusajiliwa na kupata huduma mbalimbali zitolewazo na dayosisi kwa njia ya mtandao.

Wasiliana nasi

Kupata huduma , taarifa na msaada wa kiroho na kiutendaji kutoka dayosisi tafadhali wasiliana nasi  au tutembelee ofisini

Makao makuu

Nyumba no. 35
Mtaa wa Arusha/Moshi
Ilala, Dar es salaam

Tupigie

+255 745 960 998
+255 760 960 883
+255 716 959 995

Tupigie

info@anglicandar.org
actdiosm@gmail.com
habari@anglicandar.org

Ilipo Mitaa yetu

Karibu uabudu nasi